Moto ambao bado chanzo chake hakijafahamika umeteketeza baadhi ya maduka yaliyopo hatua chache kutoka Stendi mpya ya Mwenge Jijini Dar es salaam.
Wakati wakiendelea kusubiri Jeshi la Zimamoto, tukio limeshuhudiwa na baadhi ya Mashuhuda wakifanya jitihada za kuuzima moto huo ambao hata hivyo umeonekana kuwazidi nguvu bila mafanikio.
Bado haijajulikana idadi ya maduka yaliyoteketea ama kiwango cha hasara
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/2wb6EGi
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/lk2cesV

No comments:
Post a Comment