Kocha Benchikha wa Simba Kwenda Timu ya Taifa ya Algeria - Mapenz Wakubwa

Hot

Friday, January 26, 2024

Kocha Benchikha wa Simba Kwenda Timu ya Taifa ya Algeria




Kocha wa Simba SC Abdelhak Benchikha ni moja ya makocha wanaopewa nafasi ya kwenda kukinoa kikosi cha timu ya taifa ya Algeria.

Kocha huyo raia wa Algeria anapewa nafasi hiyo baada ya Tetesi zinazoeleza kuwa Kocha Mkuu wa Algeria Djamal Belmad anataka kujiweka kando na timu hiyo.

Benchikha anatajwa kutokana na mafanikio aliyoyapata akiwa na USM Alger mwaka jana Kwa kutwaa Kombe la Shirikisho na CAF Super Cup.


from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/afCmXdh
via IFTTT

from mapenzi kitandani https://ift.tt/5uYs2ad

No comments:

Post a Comment