RC Sendiga amesema eneo kubwa lililoathiriwa na mafuriko hayo ni kata ya Gendabi na katikati ya Mji wa Katesh ambayo ni Makao Makuu ya Wilaya ya Hanang ambako nyumba za Watu zimezingirwa na mafuriko na miti iliyosombwa na mafuriko kutoka sehemu ya Mlima Hanang kulikosababisha barabara ya Katesh kwenda Singida katika eneo la Mjini Katesh kushindwa kupitika kwa muda.
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/5LlBVv6
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/HZe91Sc

No comments:
Post a Comment