Wakati penzi la msanii Diamond Platnumz na Zuchu likiendelea kuchanua kila leo, Mama Dangote, Mama mzazi wa Diamond Platnumz ni kama bado hajataka kubariki jambo hilo. Kwenye ukurasa wake wa Instagram wenye followers milioni 4.8M na following 56 (kabla), Mama Dangote amempunguza Zuchu na kubaki na watu 55 pekee aliowafollow kwenye ukurasa wake huo.
Watabiri wa “mtaachana tu”, mnasemaje?😁
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/UFSb5Ad
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/X8RQq5C
No comments:
Post a Comment