Mpaka sasa kampuni zilizofikia 47 zimetangaza kusitisha biashara zao Nchini Russia na kuungana na Mataifa mbalimbali kupinga vita inayoendelea Nchini Ukraine baada ya Majeshi ya Russia kuanza kushambulia nchi hiyo zaidi ya siku 10 zilizopita.
Miongoni mwa Kampuni hizi ni DHL, Puma, Boeing, VISA, Heineken, Youtube, Fedex, Microsoft, Google, Uniliver, Cocacola, Pepsi, McDonald, Pizza hut, Bp, Maersk, Air BNB, UPS, Toyota, VW na Ford.
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/I1rdvZA
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/iwLda5p
No comments:
Post a Comment