Jeshi la Uganda limekanusha taarifa kuwa mtoto wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba amestaafu, na kwamba hakuna maombi yaliyopokelewa.
Taarifa imeeleza kwamba andiko kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba amestaafu liliwekwa kimakosa na mwendesha ukurasa huo.
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/MiREzl3
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/MUitebD
No comments:
Post a Comment