Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena ya clouds FM @mwijaku ambae pia alikua mshereheshaj katika shughuli ya @officialalikiba ya uzinduzi wa Album yake ya Only One King' amefunguka kuwa ni kweli @officialshilole hakuwepo kwenye utaratibu wala ratiba ya kuzungumza katika shughuli ile.
Mwijaku ameeleza kuwa aliweza kumpatia nafasi #Shishi kwa mapenzi na mahaba yake binafsi na msanii huyo -kwa kuwa anaa mahusiano nae mazuri , lakini uongozi wa AliKiba ,utaratibu wala ratiba haikumtaja shilole kuzungumza ama kutambulisha wimbo wowote katika shughuli hiyo.
✍🏾@keviiiy.iam
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3q32KR5
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/3BqkqrC
No comments:
Post a Comment