Mume wa zamani wa msanii wa filamu Shamsa Ford, Chidi Mapenzi amempa makavu Uchebe kwa kusema anafanya matukio ili kuongeza followers kwenye mtandao wa Instagram.
Chidi Mapenzi ameongeza kusema Uchebe ni mtu wa dini lakini nia yake ni kufikisha followers milioni 2 ndio maana anafanya matukio mengi ili kuhakikisha anawapata.
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3GlqzsZ
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/3Eic1bJ
No comments:
Post a Comment