Lissu, Wenzake Wafutiwa Kesi Kisutu - Mapenz Wakubwa

Wednesday, September 22, 2021

Lissu, Wenzake Wafutiwa Kesi Kisutu



Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeifuta kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleao (Chadema) Tanzania Bara, Tundu Lissu na wenzake wanne.


Ni baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuieleza mahakama hiyo kuwa hana nia ya kuendelea na mashtaka dhidi ya washtakiwa hao.


from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3CG8nrr
via IFTTT

from mapenzi kitandani https://ift.tt/3CCoFkQ

No comments:

Post a Comment