Kocha Kaze KATUA Dar Usiku Mzito - Mapenz Wakubwa

Thursday, September 23, 2021

Kocha Kaze KATUA Dar Usiku Mzito




Cedric Kaze tayari yupo nchini, ametua usiku wa kuamkia leo na huenda wakati wowote akatambulishwa kama Kocha Msaidizi.

Inaelezwa Kaze ataanza majukumu yake mara moja na atakuwa sehemu ya benchi la ufundi kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii Jumamosi Septemba 25.


from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3lK3rdW
via IFTTT

from mapenzi kitandani https://ift.tt/2ZpRind

No comments:

Post a Comment