Vanessa mdee amewahi kutusanua Hali iliyopelekea kuacha kusoma Chuo Nchini Kenya, Vanessa alidai kukosa Fedha ya Ada ilimfanya aachane na masomo katika chuo hicho .
Vanessa alitembelea chuo hicho pale tu alipopata shavu lakuwa Judge Katika mashindano ya kusaka vipaji ya East Africa Got Talent yaliyokuwa yakifanyika nchini Kenya .
from Udaku Special https://ift.tt/3kDGeeG
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/3wYqCFi
No comments:
Post a Comment