"Burnaboy alichaguliwa kuwania @betawards akiwa ameachia Album na kashinda Grammy, na @diamondplatnumz ameingia akiwa kaachia ngoma mbili 2 TU WAAH na JEJE ndo mjue kuwa Dimaond ni mkubwa sana Ngoma mbili tu mpaka BET awards.. hivyo kikawaida tu ilitakiwa tumuapriciate Diamond " - @sallam_sk
from Udaku Special https://ift.tt/3eCyRQT
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/3kzugCH
No comments:
Post a Comment