Shirikisho la Soka nchini TFF limesikitishwa na utaratibu uliotumiwa na Uongozi wa Shule ya Gilbert Bayi wa kudai stahiki zake kupitia vyombo za habari.
TFF muda mchache uliopita wametoa taarifa ya kusikitishwa huko, na kuisambaza kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.
Taasisi hiyo ya Soka nchini imekiri kudaiwa fedha zaidi ya Milioni 70, baada ya kupunguza deni la zaidi ya shilingi milioni 500.
from Udaku Special https://ift.tt/3BoMDQK
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/3zkUqNW
No comments:
Post a Comment