Kwa kweli wanawake hii kitu ngoja niwaambie ,,,,zile harufu zenu ambazo huwa mnatoa kabla hamjajipulizia pafyumu huwa zinaleta hamasa kubwa sana ya mapenzi kuliko hayo mapafyumu ya gharama mnayojipulizia
Kwa kifupi nikikaa na demu ambaye hajajipulizia pafyumu kile kiharufu chake kinachotoka huwa kinanivutia sana yani kuliko nikikaa na demu anayenukia pafyumu.
Hii siri nimewamegea usiipuuze izingatie sana.
from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/34AJVtq
via IFTTT
from mapenzi kitandani https://ift.tt/2Sjurmo
No comments:
Post a Comment