Mapenz Wakubwa: UWANJA WA MAPENZI

Hot

Showing posts with label UWANJA WA MAPENZI. Show all posts
Showing posts with label UWANJA WA MAPENZI. Show all posts

Sunday, October 13, 2019

Njia 6 za Kumfanya Mpenzi Wako Ashikamane Nawe

October 13, 2019 0
Related image
Epuka hasira;
Usishughulikie changamoto kwa hasira, jazba na mhemko. Kwa asili binadam hapendi kushambuliwa hata kama ana makosa. Usimkabili mpenzi wako ukiwa na hasira. Kama unataka matokeo mazuri, basi subiri pale mtakapokuwa mmetulia hapo utaweza kumkabili na kuzungumza naye kwa utulivu. Moja kwa moja utamuona akilifikiria jambo hilo kwa utulivu huku akijilaumu. Hii ni njia bora kabisa ya kushughulikia changamoto za mahusiano. Kadhalika iwapo mpenzi wakoamefanya kosa usisahau kuwa anayo mazuri pia. Miongoni mwa sababu kubwa za wapenzi kuachana ni pale wanapojikita kwenye mabaya na kusahau mazuri ya upande wa pili.
Epuka kumAibisha mbele ya watu;
Hakuna kitu kinachomkasirisha mtu kama mpenzi anayemkera na kumuaibisha mbele ya watu, mbele ya marafiki na jamaa zake. Jambo hilo huwa na taswira hasi kwenye saikolojia ya mtu hata kama ulikusudia kufanya utani tu. Huwezi kujua reaction yake kwa ulichokifanya. Hivyo, epuka sana jambo hilo ili mahusiano yenu yasonge mbele kwa amani.
Epuka kupiga makelele:
Unapotaka kuwasilisha hoja yako tumia sauti, usitumie kelele. Hakika sauti mbaya zaidi ni sauti ya punda, basi usiifanye hoja yako kutawaliwa na sauti kama ya punda badala ya sauti maridhawa iliyojaa madaha na umaridadi wa kimahaba.
Acha kumpigia makelele mpenzi wako na kumkumbusha kasoro zake kila mara, kwa sababu hakuna mtu mkamilifu, na upendo wa kweli hujengwa kwenye kustahmiliana na kuvumilia kasoro za mwenzako. Usijaribu kuyalinganisha mazuri ya watu wengine na yale ya mpenzi wako. Hao wengine unayajua mapungufu yao? Je, huyo unayemlinganisha na mpenzi wako umeziona kasoro zake na mpenziwe? Usimfanye mpenzi wako ajihisi duni kwa kasoro zake, bali muoneshe kwamba licha ya kasoro zake bado ni Majnun wako.
Vitendo vya kimahaba vitawale mahusiano yako:
Mahusiano mengi hufa kwa sababu zinakosa vitendo vya kimahabba kutoka kwa wapenzi husika. Hakika vitendo hivyo humuonesha mpenzi wako kuwa unafurahia kuwa naye. Vitendo vya kimahabba ni zaidi ya tendo la ndoa. Vitendo vya kimahabba huakisi ulimwengu wako wa ndani. Pumzi zako huwa romantic, maneno na kauli zako huwa romantic, mapishi yako huwa romantic, mavazi yako huwa romantic, chumba chako huwa romantic, maji ya kukoga huwa romantic…. Hakika kila kitu chako huonesha umaridadi wako wa kimapenzi.
Usiwe kama bosi wake:
Usijaribu kumwambia mwenza wako anachotakiwa kufanya kazini kwake. Anapokuwa amekosea jambo fulani kazini, usijaribu kumkosoa na kumnanga, bali msikilize na umpe moyo wa kukabiliana na changamoto hiyo. Mwambie kuwa unaamini anaweza kuitatua.
Mfanye kuwa kipaumbele chako:
Unapoingia kwenye mahusiano, basi mtu ambaye anapaswa kuwa namba moja katika maisha yako ni mwenza wako. Sio kazi yako wala familia yako. Kwa kufanya hivo utamfanya mpenzi wako ajihisi ni wakipekee zaidi na azidishe upendo wake kwako na ashikamane nawe zaidi na hivyo kuyafanya mahusiano yenu yadumu zaidi na zaidi.
Fikiria hayo.


Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome


  🔞Wakubwa tu: video kali zote na original app download chini
TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII LINK WATOTO KAA PEMBENI


Read More

Tambua Vitu Mwanaume Anavyokupima ili Akujue Unafaa Kuolewa Au Ni Hit And Run !

October 13, 2019 0
Related image


1. Ukienda kwake ukutane na vyombo vichafu na nguo chafu zimejazana usidhani ni mvivu, ni kamtihani anakupa.
2. Ukiingia kwake ukaona anampigia simu yule dada wa usafi anayekujaga mara moja kwa wiki aje afanye usafi alipwe usidhani eti anajali kihivyo. Anakutest aone kama utasema “Acha baby, ntakufulia mpenzi wangu”.
3. Ukikuta kwake amefanya shopping ya vyakula vya kupika kama unga, mchele, na vingine halafu akakwambia mwende ule mgahawa fulani mkapate dinner usidhani eti ana hela kibao ya kutumia! Anakutest aone kama utamwambia mbaki kwake mpike mle. Uko chumba cha mtihani!
4. Siku kakuahidi kukutoa out halafu unafika kwake unakuta kajikunyata kama mgonjwa anakwambia mama ake kapiga simu anaumwa anaomba atumiwe hela. Halafu anakwambia hela aliyo nayo na ukipiga mahesabu unaona ni kama ile ya kutumia mkiwa out. Anakuomba ushauri afanyaje. Wewe unamwambia “Baby twende out, suala la mama nina uhakika kaka zako na dada zako watalishughulikia, atawapigia”. Woiyeeee! My sista hapo umejimaliza!!
5. Ukimtembelea kwake ukakuta anapika na kufanya usafi wewe Umekaa tu unaangalia muvi halafu ukitaka umsaidie anakwambia endelea kuangalia muvi karibu anamaliza na wewe kweli ukarudi ukakaa kuendelea na muvi yako! Siku zako zinahesabika!!
6. Ulishawahi kumwambia mpenzi wako aende kwenye ibada? Alipokataa ulimsisitizia? My sister, hata walevi wanapenda wanawake ambao wanawasisitiza kwenda kwenye ibada. Sio tule wale kila siku wanashinda baa na club.
7. Mara ngapi huwa unamkumbusha kuwapigia simu wazazi au ndugu zake kuwajulia hali mkiwa wote? Angalao akupe na simu na wewe uwasalimie? Huo ni mtihani mwingine huwa mnafeli sana.
8. Jifunze pia kusisitiza kujitunza kabla ya ndoa. Sio kila saa ukimtembelea ni kujiachia tu. Inaleta adabu na inawafanya mkazanie kufikia lengo kubwa la maisha.
9. Jaribu ukiwa unaenda kwake uwe unaenda na tuvitu kama nyanya, vitunguu, n.k. Hivyo vyote huwa wanaume ni shida kununua mara nyingi.
10. Wakati mwingine nenda kwake hata na CD za dini mpelekee msikilize. Sio kila ukifika kwake wewe ni rege, Eminem, Lil Wayne na kina nani sijui. Ukiwa hivyo hataona tofauti kati yako na wale macho juu anakutana nao club kila wikiendi.
11. Jenga na tabia ya kumnunulia tuzawadi tudogo tudogo. Sometimes unakuja na boksa au kavesti au kadodoranti. Hiyo kwa wanaume inaonyesha unaweza kujipa majukumu na kuyasimamia. Marks hizo


Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome


  🔞Wakubwa tu: video kali zote na original app download chini
TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII LINK WATOTO KAA PEMBENI



Read More

Sunday, September 1, 2019

Mbinu tatu (3) za kumtongoza msichana ili akubali mapema

September 01, 2019 0
Image may contain: 1 person, sitting and indoor

Download app yetu mpya DOWNLOAD
Miongoni mwa maswali ambayo huwachanganya wavulana wengi ni pamoja ni kwa jinsi gani anaweza kumtongoza msichana na hatimaye akakubali. Wengi wao wanakuwa hawana ile nguvu ya kujiamini  ya kumtongoza msichana huyo macho kwa macho, wengi wao utawasikia ooh samahani naomba namba yako.
Sasa ili kuwaponya madomo zenge walio wengi hii ndiyo tiba ya kumtongoza mrembo yeyote hatimaye akakukubali.
1. Usimfanye ajue unampenda kwa dhati.
Wanaume wengi huwa wanafanyaga kosa hili kubwa . Wanawaambia wanawake wanawapenda au wanahisia za kimapenzi kwao . Ni kweli unampenda , anajua hivyo tayari . Au hajui ? Unampigia simu kila saa , mnataniani kimapenzi na anaona uhusiano wenu kabisa .
Kwahiyo japokua anahisi unampenda , usije kuonyesha hivyo kwani anahitaji kusikia kutoka kwako ili ajihakikishia hisia zake . Chukulia poa na usifunguke kuhusu hisia zako kwake , kitendawili alichonacho ndicho kitamfanya azidi kukunata na kutaka kujua mwisho wa mambo .
2. Ishi Maisha mawili
Unapoongea nae usiku , mwaga sera zako na funguka kuhusu mambo ya mapenzi sema mkikutana ana kwa ana mchana usiongelee mambo ya mapenzi kabisa labda aanze yeye na hivyo kumaanisha ashaingia line na anapenda maongezi hayo .
Pia epuka kuongelea kuhusu mambo yenu ya kimapenzi mnapokua na marafiki wengine bali fanyeni hivyo mkiwa wawili . Kwa kufanya hivyo unamfanya aamini kuna uhusiano motomoto wa siri unapikika kati yenu
3. Kuwa karibu na mtu huyo.
Siku zote , kama unataka kumtokea msichana njia muhimu kabisa ni kuweza kumjua kwa undani .Usikurupuke kurupuke tu ukaanza kutongoza , msichana ataogopa au atakuona mtu rahisi kua nae na mwisho wa siku utaishia kumboa tu .
Ongea nae na upate kumjua vizuri . Mtumie message na usiwe na mzuka , mfanye awe kama rafiki kwanza . Usimtokee kwanza sema pia usisubiri sana maana ataanza kukuchukulia poa .
Ukitumia mbinu hizo tatu nina imani kubwa ni lazima msichana huyo utampata tu.

Read More